WASOMI WA JAMII YA TANA RIVER WATAKIWA KUTAFUTA AJIRA ZA SERIKALI KUU.
Wakaazi wa kaunti ya Tana River wameonywa dhidi ya kuwa na dhana potofu kuhusiana na nafasi za ajira kwenye mashirika na taasisi za serikali kuu. Kulingana na seneta wa kaunti hiyo Danson Buya Mungatana, kuna haja ya wale walio na masomo ya hali ya juu, kutuma maombi ya kupata kazi hizo pindi tu zitakapo tangazwa. […]
WASOMI WA JAMII YA TANA RIVER WATAKIWA KUTAFUTA AJIRA ZA SERIKALI KUU. Read More »



