TONNY NGALA

RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII.

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa atazindua chama chake cha kisiasa wiki hii. Kulingana na Gachagwa chama hicho atakacho tumia kufanikisha agenda yake ya kuwania uras wa taifa hili mwaka 2027. Gachagwa amepinga madai ya kushuhudiwa kwa mgawanyiko katika mrengo wa upinzani huku akiwasisitiza vijana kuhakikisha kuwa wanasajiliwa kuwa wapinga kura. Haya yanajiri […]

RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII. Read More »

MAAAFISA ZAIDI WA NPR WATARAJIA KUTUMWA KAUNTI YA TANA RIVER.

Idara ya polisi nchini imeahidi kuwekaza jitihada zaidi katika suala la kuwahakikishia wananchi wa kaunti ya Tana River usalama wao. Kulingana na inspekta wa polisi nchini Douglas Kanja, idara hiyo itatoa fedha za kuwapa mafunzo maafisa wapolisi katika kitengo cha NPR, ambao watashika doria katika eneo hilo. Akizungumza katika ziara yake kule kaunti ya Tana

MAAAFISA ZAIDI WA NPR WATARAJIA KUTUMWA KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »