RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII.
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa atazindua chama chake cha kisiasa wiki hii. Kulingana na Gachagwa chama hicho atakacho tumia kufanikisha agenda yake ya kuwania uras wa taifa hili mwaka 2027. Gachagwa amepinga madai ya kushuhudiwa kwa mgawanyiko katika mrengo wa upinzani huku akiwasisitiza vijana kuhakikisha kuwa wanasajiliwa kuwa wapinga kura. Haya yanajiri […]
RIGATHI GACHAGWA ATARAJIWA KUZINDUA CHAMA CHAKE WIKI HII. Read More »



