MOFA KUSHIRIKI NSL MSIMU UJAO
Klabu ya Rainbow Fc iliyokuwa inashiriki katika ligi ya kitaifa ya Super League imebainika sasa itashiriki katika ligi ya daraja la pili la Fkf. Nafasi yao sasa imechukuliwa na klabu ya MOFA inayomilikiwa na nahodha wa timu ya taifa Harambe Stars Michael Olunga klabu ambayo msimu uliopita ilikuwa inashiriki katika ligi ya daraja la kwanza […]
MOFA KUSHIRIKI NSL MSIMU UJAO Read More »



