Paps Mkare

LANGO ASEMA ATATOA TAMKO LA MWISHO BAADA YA KIKAO CHA BODI YA UCHAGUZI – FKF

Mwenyekiti wa Fkf katika tawi la eneo bunge la Malindi kaunti ya Kilifi Tom Lango amesema kwamba atatangaza mwafaka wake kama atatetea kiti hicho katika uchaguzi wa Fkf ujao baada ya taarifa zitakazitokana na kikao cha kamati kuu. Lango amesema kwa sasa anasubiri mwongozo kutoka bodi ya uchaguzi wa Fkf na kwa sasa lengo lake

LANGO ASEMA ATATOA TAMKO LA MWISHO BAADA YA KIKAO CHA BODI YA UCHAGUZI – FKF Read More »