Paps Mkare

GAUCHO KUJIUNGA NA MALINDI UNITED BAADA YA KUACHANA NA BULLS

Kocha mkuu wa Young Bulls, Ali Said Gaucho, ameondoka katika klabu hiyo ya FKF Division One yenye makaazi yake mjini Malindi kwa wiki moja sasa. Gaucho ametaja kuna baadhi ya vitu ambavyo hakuvielewa baina yake na uongozi hivyo basi kulazimika kufunga virago. Kwa sasa, anahusishwa na kutua Malindi United ingawa dili hilo haliko wazi. Coach

GAUCHO KUJIUNGA NA MALINDI UNITED BAADA YA KUACHANA NA BULLS Read More »