MANCHESTER CITY YASHTAKIWA
Richard Masters ambaye ni Afisa mkuu Mtendaji wa ligi kuu nchini Uingereza ametoa taarifa kuwa tarehe imepangwa kwa ajili ya kusikilizwa kwa madai ya ukiukaji wa sheria za kifedha , kesi inayohusu klabu ya Manchester City ambao ni mabingwa watetezi wa taji hilo msimu huu. Hata hivyo mbele ya kamati wa bunge huko Uingereza, Masters […]
MANCHESTER CITY YASHTAKIWA Read More »



