BUMBANI FC YAPATA ALAMA KILIFI DHIDI YA YANGA
Mechi ya daraja la pili kitaifa iliyokuwa inawakutanisha vinara wa ligi Bumbani Fc kutoka kaunti ya Kwale dhidi ya Yanga FC imetamatika kwa sare ya mabao 2-2 katika uwanja wa Alaskan mjini Malindi kaunti ya Kilifi. Akizungumza na Tama La Spoti baada ya mechi hiyo mkufunzi mkuu wa Bumbani Fc, Mwaduka Bakari ameeleza kuridhika na […]
BUMBANI FC YAPATA ALAMA KILIFI DHIDI YA YANGA Read More »



