Paps Mkare

WITO WATOLEWA KWA KAUNTI KUPIGA JEKI MCHEZO WA ‘SKATTING’

Serikali ya kaunti ya Kilifi sasa imetakiwa kujenga viwanja zaidi vya michezo ya kuteleza  kupitia kwa viatu vya magurudumu maarufu kama Sketting   ili kunufaisha vjana wapenzi wa mchezo huo mjini Malindi. Kulingana  na Kocha mkuu wa mchezo huo mjini Malindi Joseph Njenga tayari jumla ya vijana 300 wamejiunga na mchezo huo kufikia sasa tangu mchezo

WITO WATOLEWA KWA KAUNTI KUPIGA JEKI MCHEZO WA ‘SKATTING’ Read More »