JOPO LA KUSKIZA NA KUCHUKUA MAONI KAUNTI YA TANA RIVER LATAKIWA KUTEKELEZA MAPENDEKEZO YANAYOTOLEWA NA WENYEJI
Afisa katika shirika la kijamii la KECOSCE kaunti ya Tana River, Steven Otoi amelitaka jopo la kuskiza na kuchukua mapendekezo ya mwananchi ya mipangilio ya serikali ya kaunti ya miaka mitano CIDP kuhakikisha inatekeleza mapendekezo ambayo yalitolewa kwenye vikao vya kukusanya maoni ya umma. Otoi amesema serikali ya kaunti imekua na tabia ya kutekeleza miradi […]



