WACHEZAJI WAWILI WA MATHARE WAPIGWA MARUFUKU
Wachezaji wawili wa klabu ya Mathare United inayocheza ligi kuu nchini Kenya wamesimamishwa kutoshiriki mechi yoyote ya ligi na shirikisho la soka la FKF kutokana na madai ya upangaji wa matokeo. Wachezaji hao ni Lennox Ogutu pamoja na Alphonce Ndonye na kulingana na waraka uliochapishwa mitandaoni na FKF, uchunguzi kuhusu madai ya kupanga kwa matokeo […]
WACHEZAJI WAWILI WA MATHARE WAPIGWA MARUFUKU Read More »



