Elvis Baya

CEO WA FKF BARRY OTIENO AZIOMBA KAUNTI KUSHIRIKIANA NA MATAWI YAO

Afisa mkuu mtendaji wa wa shirikisho la soka nchini Kenya Barry Otieno amezitaka kaunti kote nchini kushirikiana na matawi ya shirikisho hilo kuboresha ligi. Akiongea na Tama La spoti kwa njia ya simu Otieno amesema kwamba shirikisho hilo linapania kuanzisha ligi ya vijana wasiozidi umri wa miaka kumi na mitano hivyo kuzitaka kaunti kushirikiana katika […]

CEO WA FKF BARRY OTIENO AZIOMBA KAUNTI KUSHIRIKIANA NA MATAWI YAO Read More »

SHIRIKISHO LA SOKA LAFUNGIA KWA MDA WACHEZAJI NA MAREFA

Shirikisho la soka nchini Uganda, FUFA limetoa adhabu ya kufungiwa kwa muda, kwa wachezaji sita na waaamuzi wawili kutokana na tuhuma za upangaji matokeo katika mechi za Soka. Washirika waliopigwa marufuku ni pamoja na waamuzi Opio Deogracious na Nkurunziza George. Wachezaji ni Waiswa Andrew, Kakooza Yaya Mahad wanaoichezea Gaddafi FC, mchezaji wa Kitara FC Lwesibawa

SHIRIKISHO LA SOKA LAFUNGIA KWA MDA WACHEZAJI NA MAREFA Read More »