CEO WA FKF BARRY OTIENO AZIOMBA KAUNTI KUSHIRIKIANA NA MATAWI YAO
Afisa mkuu mtendaji wa wa shirikisho la soka nchini Kenya Barry Otieno amezitaka kaunti kote nchini kushirikiana na matawi ya shirikisho hilo kuboresha ligi. Akiongea na Tama La spoti kwa njia ya simu Otieno amesema kwamba shirikisho hilo linapania kuanzisha ligi ya vijana wasiozidi umri wa miaka kumi na mitano hivyo kuzitaka kaunti kushirikiana katika […]
CEO WA FKF BARRY OTIENO AZIOMBA KAUNTI KUSHIRIKIANA NA MATAWI YAO Read More »



