MESSI KUKOSA MSHAHARA WA WIKI MBILI, KUNANI?
Klabu ya Paris Saint-Germain imemsimamisha mshambuliaji Lionel Messi kwa wiki mbili bila mshahara baada ya Nyota huyo raia ya Argentina kukwepa mazoezi ya klabu hiyo na kukwea pipa kuelekea Saudi Arabia bila idhini ya klabu. Messi (35) alifunga safari hiyo baada kipigo cha PSG cha 3-1 nyumbani dhidi ya Lorient Jumapili iliyopita, ambapo alicheza dakika […]
MESSI KUKOSA MSHAHARA WA WIKI MBILI, KUNANI? Read More »


