Paps Mkare

SOKA LA KENYA KUSUBIRIWA KWA MUDA WA ZIADA – BARRY OTIENO

Mkurugenzi mkuuu wa shirikisho la soka FKF Barry Otieno amesema kwamba huenda wapenzi wa soka la FKF hasa ‘Premier League’ ya wanaume lakini pia ya kinadada wakalazimika kusubiri kwa muda zaidi kuanza kwa msimu mpya wa ligi kuu. Kamati ya mpito inayosimamia soka nchini ilikuwa imeratibu ligi za wanaume pamoja na wanadada kuanza tarehe 24

SOKA LA KENYA KUSUBIRIWA KWA MUDA WA ZIADA – BARRY OTIENO Read More »

WENYEJI WA WATAMU WATAKIWA KUOKOTA TAKA ZA PLASTIKI KWENYE FUO ZA BAHARI

Afisa ambaye anasimamia hifadhi ya WATAMU MARINE PARK kaunti ya Kilifi Dadley Tsiganyiu amewahimiza wenyeji kulinda mazingira ya baharini kwa kusitisha utupaji ovyo wa taka kwenye fuo za bahari hindi. Akizungumza katika eneo hilo amewataka kuokota taka za plastiki zilizoko kwenye fuo za bahari na kisha kuzipeleka katika kituo cha ECO – WORLD ili zinunuliwe wapate

WENYEJI WA WATAMU WATAKIWA KUOKOTA TAKA ZA PLASTIKI KWENYE FUO ZA BAHARI Read More »