Tonny Ngala

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA EBOLA.

Idara ya afya kaunti ya Mombasa imewahakikishia wananchi wa kaunti hiyo kuwepo kwa mikakati, ya kukabiliana na maambukizi wa maradhi ya Ebola ambayo yameanza kuripotiwa, katika baadhi ya mataifa ya Afrika Mashariki. Kulingana na afisa mkuu wa afya kaunti ya Mombasa Pauline Oginga, ni kuwa idara hiyo kwa ushirikiano na mashirika mengine ya kijamii katika […]

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA EBOLA. Read More »

PROFESA RAPHAEL MUNAVU ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA JOPO LA KUTATHMINI MTAALA WA CBC.

Rais wa taifa hili Dktr William Kipchirchir Arap Samoei Ruto, ameunda jopo la wataalumu wa masuala ya elimu, ili kutathmini utendakazi wa mtaala mpya wa umilisi wa CBC na kumteua profesa Raphael Munavu, kuwa mwenyekiti wa jopo hilo. Jopo kazi hilo litafanya tathmini ya mtaala huo na kusoma sheria zote zinazosimamia sekta ya elimu ya

PROFESA RAPHAEL MUNAVU ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA JOPO LA KUTATHMINI MTAALA WA CBC. Read More »