UTUMIZI WA DAWA ZA KULEVYA KUPITIA SINDANO WAWAWEKA VIJANA KATIKA HATARI YA KUPATA UKIMWI.
Asilimia 18.7 ya vijana wanaotumia dawa za kulevya kwa kujidunga sindano, wametajwa kuwa katika hatari kubwa ya kuambukizwa virusi vya Ukimwi kaunti ya Kwale. Haya ni kwa mujibu wa mkurugenzi wa shirika la kijamii la kukabiliana na utumizi wa mihadarati kaunti ya KWALE, la Teenswatch Ahmed Mohammed anayetaka hamasa zaidi kutolewa kwa vijana ili kuzuia […]



