VIONGOZI WA SOKA MASHINANI WAANZISHA MAFUNZO YA MAREFA NA MAKOCHA
Wadau wa soka nchini Kenya wanapozidi kususubiri ligi kurejea kwa hali shwari baada ya swala zima la marufuku ya FIFA kuondolewa na ujio wa waziri mpya wa michezo Ababu Namwamba kuanza rasmi kazi yake, sasa washikadau wa michezo mashinani wameazimia kuanzisha mafunzo ya makocha ili kuboresha sekta hiyo wakati wakisubiri hali nzuri kurejea. Akizungumza na […]
VIONGOZI WA SOKA MASHINANI WAANZISHA MAFUNZO YA MAREFA NA MAKOCHA Read More »



