VUGUVUGU LA AMKENI COAST MOVEMENT YAMTETEA AISHA JUMWA
wenyekiti wa vuguvu la AMKENI COAST MOVEMENT Farida Rashid pamoja na wanaharakati wenza wamewakosoa wanaopinga kuondolewa mashtaka kwa aliyekuwa mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi Aisha Jumwa. Farida ametoa wito kwa wanaopinga hatua hiyo kuwasilisha lalama zao kwa mkurugenzi mkuu wa mashtaka ya umma nchini Noordin Hajji na sio kuibua kashfa ambazo hazina misingi yoyote. […]
VUGUVUGU LA AMKENI COAST MOVEMENT YAMTETEA AISHA JUMWA Read More »



