Janet Mumbi

GAVANA WA KILIFI ASEMA SERIKALI YAKE HAIJAWEZA KUWASILISHA BAJETI YA ZIADA

Serikali ya kaunti ya Kilifi imetakiwa kushughulikia swala la ukame, kwa kuweka mikakati ya kutosha ili kuhakikisha wakaazi wanapewa msaada wa kutosha na kuzuia maafa katika maeneo yaliyoathirika zaidi. Hii ni baada ya gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Mungaro, kueleza kuwa serikali yake haijaweza kuwasilisha bajeti ya ziada, katika bunge la kaunti kwani bado […]

GAVANA WA KILIFI ASEMA SERIKALI YAKE HAIJAWEZA KUWASILISHA BAJETI YA ZIADA Read More »

MAAFISA WANNE WA SSU WANAENDELEA KUZUILIWA KATIKA IDARA YA DCI

Maafisa wanne wa polisi waliokuwa chini ya Kitengo Maalum cha Huduma (SSU), ambacho pia kilivunjiliwa mbali na Rais William Ruto katika afisi ya Mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI), bado wanaendelea kuzuiliwa na polisi katika vituo mbalimbali vya polisi jijini Nairobi wakitarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo. Wanne hao ambao ni pamoja na Inspekta

MAAFISA WANNE WA SSU WANAENDELEA KUZUILIWA KATIKA IDARA YA DCI Read More »