RAIS RUTO ASEMA YUKO TAYARI KUFANYA KAZI NA KALONZO MUSYOKO
Rais William Ruto amesema kuwa yuko tayari kufanya kazi na kinara wa wiper Kalonzo Musyoka kwa manufaa ya wenyeji wa ukambani ila Kalonzo mwenyewe hajaonyesha nia ya kukubaliana na hatua ya kushirikiana na serikali. Akizungumza hapo jana katika ibada ya shukrani kwenye kanisa la AIC kaunti ya Kitui, rais Ruto amesema kuwa alichukua hatua ya […]
RAIS RUTO ASEMA YUKO TAYARI KUFANYA KAZI NA KALONZO MUSYOKO Read More »



