IRUNGU MACHARIA AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUSHIRIKIANA NA MAGAIDI
Kamishna wa kaunti ya Lamu Irungu Macharia amesema mikakati thabiti imewekwa na asasi za usalama katika kaunti hiyo ili kudhibiti visa vyovyote vya utovu wa usalama. Katika hotuba yake kwa wenyeji wa kaunti hiyo, Macharia amewaonya magaidi wa Al – Shabaab ambao wanapania kutekeleza mashambulizi kwenye kaunti hiyo na kusema idara ya usalama imejiandaa katika […]
IRUNGU MACHARIA AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUSHIRIKIANA NA MAGAIDI Read More »


