ANGELLA OKUTOYI KUSHINDANISHWA NA MABINGWA WA RIADHA
Kinda wa kimataifa katika mchezo wa tenisi mwite Angella Okutoyi ameorodheswa kati ya wanariadha watakao ngangania taji la mchezaji bora wa mwaka wa kenya, tuzo zitakazofanyika mwezi januari mwaka 2023. Hafla hiyo itafanyika katika kaunti ya Nairobi na makala ya mwaka huu yanahusisha pia kitengo cha wachezaji ambao bado ni wanafunzi baada ya kitengo hicho […]
ANGELLA OKUTOYI KUSHINDANISHWA NA MABINGWA WA RIADHA Read More »



