Janet Mumbi

WAZAZI MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA WALINDA WATOTO WAO

Wazazi wametakiwa kuwalinda watoto wao dhidi ya kujihusisha na mambo maovu wanapokuwa kwenye likizo ndefu ya mwezi wa Disemba. Haya ni kulingana na chifu wa eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Nicodemus Mwayele ambaye amesema watoto wengi, hutumika katika shughuli za ulanguzi wa mihadarati hasa msimu huu wanapokuwa majumbani. Amesema kila mzazi anapaswa kuhakikisha anafahamu […]

WAZAZI MJINI MALINDI KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA WALINDA WATOTO WAO Read More »

MBUGA ZA WANYAMAPORI KAUNTI YA LAMU KUIMARISHWA

Mkurugenzi wa utalii na utamaduni kaunti ya Lamu Ali Ahmed amesema wanapania kuimarisha mbuga za wanyamapori ambazo ziko kwenye kaunti ya Lamu pamoja na utalii wa viumbe wa baharini ili kuwavutia watalii zaidi. Kulingana na Ali utalii wa mbuga bado haujashughulikiwa kikamilifi kama inavyofanyika katika mbuga a Tsavo iliyoko katika kaunti ya Taita Taveta licha

MBUGA ZA WANYAMAPORI KAUNTI YA LAMU KUIMARISHWA Read More »

GAVANA WA MOMBASA AMEAHIDI KUSHIRIKIANA NA IDARA YA USALAMA

Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir ameziomba asasi za usalama pamoja na Viongozi kaunti ya Mombasa kufanya kazi pamoja ili kuimarisha Usalama. Akizungumza kwenye kikao kilichowaleta pamoja viongozi wa kisiasa kaunti ya Mombasa na maafisa wa Usalama katika eneo bunge la Nyali Nassir amesema hali ya usalama katika kaunti hiyo inapaswa kuimarishwa vilivyo

GAVANA WA MOMBASA AMEAHIDI KUSHIRIKIANA NA IDARA YA USALAMA Read More »