SOFAPAKA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA JAMHURI
Batoto ba mungu Sofapaka ndio mabingwa wa kombe la Jamhuri baada ya mechi ya jana katika uwanja wa Nyayo ambapo vijana hao waliwatandika AFC Leopards kupitia ufundi wa upigaji wa matuta. Katika dakika ya 14 ya mchezo Washington Munene aliwatanguliza Ingwe kabla Roddy Manga kusawazisha bao hilo kunako dakika ya 84 ya mchezo baada ya […]
SOFAPAKA NDIO MABINGWA WA KOMBE LA JAMHURI Read More »



