PELE AENDELEA KUPATA AFUENI
Nguli wa Brazil mwite Pele anaendelea kupata afueni wiki mbili baada ya kuanza matibabu katika hospitali moja mjini Sao Paulo. Kulingana na madaktari na wauguzi wanaomhudumia wanasema kwamba haijabainika lini ataruhusiwa kwenda nyumbani baada ya matibabu ya ugonjwa wa mapafu uliokuwa umemkabili katika siku za hivi punde. Pele mwenye umri wa miaka 82 ambaye pia […]
PELE AENDELEA KUPATA AFUENI Read More »



