HABARI

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AKATA RUFAA DHIDI YA HUMU YA MIAKA 12 GEREZANI.

Aliyekuwa Gavana wa kaunti ya Kiambu Ferdinand Waititu, amewasilisha rufaa ya kupinga uamuzi wa kumhukumu kifungo cha miaka 12 jela kutokana na kesi ya ufisadi ya Shilingi milioni 588. Katika nakala zake alizowasilisha katika Mahakama Kuu ya Kupambana na Ufisadi Milimani, kupitia wakili wake Danstan Omari, Waititu amemkashifu hakimu Thomas Nzyoki, kwa kutochanganua kikamilifu ushahidi […]

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AKATA RUFAA DHIDI YA HUMU YA MIAKA 12 GEREZANI. Read More »

AFISI YA MWANASHERIA MKUU KAUNTI YA LAMU YAFUNGULIWA RASMI.

Niafueni kwa wakaazi wa kaunti ya Lamu wanaokabiliwa na changamoto za kutafuta huduma za afisi ya mkuu wa sheria nchini baada ya afisi hiyo kufunguliwa rasmi katika kaunti hiyo. Akizungumza kwenye hafla ya ufunguzi rasmi wa afisi hiyo, mwanasheria mkuu Shedrack Mose amesema kuwa wananchi wa kaunti ya Lamu sasa watapata fursa ya kufahamu masuala

AFISI YA MWANASHERIA MKUU KAUNTI YA LAMU YAFUNGULIWA RASMI. Read More »