SERIKALI YA KAUNTI KILIFI YATAKIWA KUTENGA SEHEMU YA KUEGESHA MAGARI
Idara ya usalama eneo la Kilifi Kaskazini kaunti ya Kilifi initaka serikali ya kaunti ya kilifi kutenga sehemu ya kuegesha magari, ili kupunguza msongamano uliopo katikati mwa mji wa Kilifi. Kulingana na kamanda wa Polisi eneo hilo Jonathan Koech, sehemu ambayo inatumika kwa sasa ni kituo cha kuabiri magari cha Kilifi, sehemu ambayo anadai kuwa […]
SERIKALI YA KAUNTI KILIFI YATAKIWA KUTENGA SEHEMU YA KUEGESHA MAGARI Read More »



