KINA MAMA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUWATOA NJE WATOTO WAO WACHANGA
Afisa anayesimamia kitengo cha wauguzi kwenye hospitali ya Garsen kaunti ya Tana River Hassan Roba ametoa wito kwa kina mama kuwatoa nje watoto wao wachanga baada ya kuzaliwa. Amesema hatua ya baadhi ya kina mama kukosa kuwatoa nje watoto wachanga baada ya kuzaliwa inahatarisha afya ya mtoto wao. Kwa mujibu wa Roba desturi ya watoto […]
KINA MAMA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUWATOA NJE WATOTO WAO WACHANGA Read More »



