HABARI

WATU WENYE UWEZO MAALUM KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJISAJILI

Watu wanye uatilifu kaunti ya Kilifi wametakiwa kujisajili katika bodi inayosimamia watu wenye uwezo maalum na kupewa vitambulisho maalum ili kunufaika na misaada mbalimbali ya serikali kuu inayowalenga. Haya ni kwa mujibu wa mwenyekiti wa watu wenye uatilifu kaunti ya Kilifi Jacob Sirya, ambaye amesema iwapo watasajiliwa watanufaika zaidi kwani itakuwa rahisi kwao kupata ufadhili […]

WATU WENYE UWEZO MAALUM KAUNTI YA KILIFI WATAKIWA KUJISAJILI Read More »

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI

Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ametoa wito kwa Jamii kutumia vyema mitandao ya kijamii kwenye masuala ambayo yatawafaidi na sio kuitumia kuwadunisha wanawake ambao wanapania kujiunga na siasa. Katika taarifa yake kwa wenyeji wa kaunti hiyo, Achani ametolea mfano wa wakati alipokuwa akiendeleza kampeni zake za kuwania wadhifa wa ugavana ambapo baadhi ya

GAVANA ACHANI AWATAKA WANAWAKE KUWEKA JUHUDU ZAIDI KATIKA UONGOZI Read More »

ARSENAL YAPIGWA STOPPER NA SOUTHAMPTON ILA YASELELEA KILELENI

Klabu ya Arsenal inayoongozwa na mkufunzi Mikel Arteta iliambulia sare ya bao 1-1 dhidi ya Southampton katika dimba la St Mary’s wakiwa ugenini. Ni mechi ilyoshuhudia goli la dakika za mapema la kiungo Granit Xhaka likisawazishwa na Stuart Armstrong raia wa Scotland katika dakika ya 65. Kwa matokeo hayo Arsenali bado inaselelea kileleni mwa ligi

ARSENAL YAPIGWA STOPPER NA SOUTHAMPTON ILA YASELELEA KILELENI Read More »