HABARI

WANARIADHA WAPEWE PASIPOTI ZA KIDIPLOMASIA – ABABU

Waziri wa michezo Ababu Namwaba anasema sasa analenga kuanzisha mzungumzo katika wizara hiyo, mazungumzo yanayopania kuwapa wanariadha wa hapa nchini pasipoti za kidiplomasia, wanariadha wawe na uhuru wa kusafiki katika mataifa ya kigeni kuiuza kenya katika suala zima la michezo. Amesema hadi sasa taifa la kenya linatambulika sana ulaya kutokana ubora wake kwenye riadha hivyo […]

WANARIADHA WAPEWE PASIPOTI ZA KIDIPLOMASIA – ABABU Read More »

MTAALA WA ELIMU WA UMILISI CBC WAZIDI KUIBUA HISIA MSETO KAUNTI YA KWALE

Hisia mseto zimeibuliwa na wakaazi wa kaunti ya Kwale kuhusiana na utekelezaji wa mtaala mpya wa elimu (CBC). Baadhi ya wakaazi wameupinga mtaala huo na badala yake kuitaka serikali kuboresha mfumo wa zamani wa 8-4-4. Wakiongozwa na Hussein Mgunga, wakaazi hao wamedai kuwa wazazi wengi hawana uwezo wa kumudu gharama ya utekelezaji wa CBC. Kwa

MTAALA WA ELIMU WA UMILISI CBC WAZIDI KUIBUA HISIA MSETO KAUNTI YA KWALE Read More »

IDADI YA WALIOCHANJWA CHANJO YA COVID -19 KAUNTI YA KILIFI IKO CHINI

Imebainika kuwa idadi ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi waliochanjwa dhidi ya virusi vya Corona kaunti ya Kilifi ni ndogo mno ikilinganishwa na matarajio ya wizara ya afya kuhusiana na utoaji wa chanjo hiyo. Shirika la msalaba mwekundu limesema ni asilimia 19 pekee ya wakaazi wa kaunti ya Kilifi waliochanjwa dhidi ya virusi hivyo hali

IDADI YA WALIOCHANJWA CHANJO YA COVID -19 KAUNTI YA KILIFI IKO CHINI Read More »