WANARIADHA WAPEWE PASIPOTI ZA KIDIPLOMASIA – ABABU
Waziri wa michezo Ababu Namwaba anasema sasa analenga kuanzisha mzungumzo katika wizara hiyo, mazungumzo yanayopania kuwapa wanariadha wa hapa nchini pasipoti za kidiplomasia, wanariadha wawe na uhuru wa kusafiki katika mataifa ya kigeni kuiuza kenya katika suala zima la michezo. Amesema hadi sasa taifa la kenya linatambulika sana ulaya kutokana ubora wake kwenye riadha hivyo […]
WANARIADHA WAPEWE PASIPOTI ZA KIDIPLOMASIA – ABABU Read More »



