HABARI

MCHEZAJI WA ZAMANI WA HARAMBEE STARS AAGA DUNIA

Beki wa zamani wa KCB, wanamvinyo Tusker FC pamoja na Wazito FC Mark Odhiambo ameaga dunia baada ya kuugua kwa muda kutokana na uvimbe katika ubongo wake. Baada ya kustaafu soka Odhiambo amekuwa akijihusisha na biashara ya uchukuzi kama dereva wa mabasi ya Umoja jijini Nairobi. Mark Odhiambo alikuwa katika kikosi cha Harambee Stars kilichovaana […]

MCHEZAJI WA ZAMANI WA HARAMBEE STARS AAGA DUNIA Read More »

MWAKA MBOVU KWA RIADHA NCHINI, WACHACHE WANG’AA

Mwaka wa 2022 ndio mwaka uliokuwa mbovu katika riadha ya kenya kutokana na matokeo ya mchezo wa riadha katika historia. Hata hivyo wanariadha asili ya Kenya wanaoakilisha mataifa ya nje wamezidi kuonyesha ubabe wao wakishindanishwa na baadhi ya wanariadha raia wa Kenya. Takwimu zinasema kwamba hii ndio mara ya kwanza kabisa tangia kuwahi kutokea namna

MWAKA MBOVU KWA RIADHA NCHINI, WACHACHE WANG’AA Read More »