WALIOSHINDWA KWENYE KIPUTE CHA KUWANIA UWAKILISHI WA WADI YS SHELLA WAHIMIZWA KUSHIRIKIANA NA ATWAA SALIM
Maafisa wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC kaunti ya Lamu wamewataka walioshindwa kwenye kipute cha uchaguzi mdogo wa wadi ya Shella kaunti ya Lamu kushirikiana vyema kwa manufaa ya wenyeji. Kulingana na afisa wa tume ya IEBC eneo bunge la Lamu Magharibi Isaiah Saha amewataka wale ambao walishindwa kwenye kipute hicho kuungana […]



