HABARI

ASKOFU KAKALA AMTAKA GAVANA WA KILIFI GIDEON MUNG’ARO KUWA KARIBU NA VIONGOZI WA DINI

Askofu wa kanisa la Jcc mjini Malindi kaunti ya Kilifi Thomas Kakala amemtaka gavana wa kaunti ya KIlifi, Gideon Maitha Mung’aro kuwa karibu na viongozi wa kidini ili kunyoosha uongozi wake. Kwa mujibu wa Kakala jukumu kubwa la viongozi hao wa kidini katika maisha ya viongozi wa kisiasa, ni kuhakikisha kuwa wanawaombea kwa Mungu kutokana […]

ASKOFU KAKALA AMTAKA GAVANA WA KILIFI GIDEON MUNG’ARO KUWA KARIBU NA VIONGOZI WA DINI Read More »

VIONGOZI WA TANA RIVER WAMPOGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO

Viongozi wa kaunti ya Tana River wameipongeza hatua ya rais William Samoei Ruto kuhusiana na kuufufua mradi wa hifadhi ya kitaifa ya chakula wa Galana Kulalu kwa kusitisha ugawanyaji wa mashamba kwenye ardhi ya mradi wa unyunyizaji maji. Wakiongozwa na Musa Wario ambaye ni kiongozi wa wachache katika bunge la kaunti ya Tana River, wamesema

VIONGOZI WA TANA RIVER WAMPOGEZA RAIS WILLIAM SAMOEI RUTO Read More »

UKOSEFU WA NGUVU ZA UMEME WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA UYOMBO KAUNTI YA KILIFI

Wakaazi wa Uyombo wadi ya Matsangoni kaunti hii ya Kilifi wameilaumu kampuni ya kusambaza umeme ya Kenya power kwa kile walichodai kuwa kampuni hiyo imezembea kazini. Wakiongozwa na Jackson Karabu wamesema kuwa kumekuwa na na uhaba wa nguvu za umeme mara kwa mara hali inayowaathiri katika biashara zao na shughuli zao za kujiimarisha kiuchumi. Wamesema

UKOSEFU WA NGUVU ZA UMEME WAZIDI KUWAATHIRI WENYEJI WA UYOMBO KAUNTI YA KILIFI Read More »