HABARI

WANAHARAKATI WATILISHAKA HATUA YA SERIKALI KUWALIPA FIDIA WAATHIRIWA WA MAANDAMANO.

Mwanaharakati wa shirika la Vocal Afrika, Hussein Khalid ametilia shaka tangazo la serikali ya kitaifa, kuhusiana na malipo ya fidia kwa waathiri wa maandano humu nchini. Hussein amesema kuwa serikali kuu, ilikosa kutoa maelezo kamili kuhusiana na waathiriwa wa maandamano yapi, watakao nufaika na fidia hiyo. Vile vile ameongeza kuwa serikali pia, ilikosa kutoa mwelekeo […]

WANAHARAKATI WATILISHAKA HATUA YA SERIKALI KUWALIPA FIDIA WAATHIRIWA WA MAANDAMANO. Read More »

WAKENYA WATAKIWA KULINDA VYUMA KWENYE NYAYA ZA UMEME.

Wizara ya kawi nchini imetoa wito kwa wakenya kulinda vifaa vya umeme dhidi ya wezi, ambao hutekeleza uharibifu na kisha baadae kuving’o na kuuza vifaa hivyo. Katibu katika wizara hiyo Alex Wachira, amesema kuwa uharibifu wa vifaa hivyo, huchangia hasara kubwa kwa serikali katika kufanya marekebisho yake. Akizungumza katika kaunti ya Murang’a, katibu Wachira amewataka

WAKENYA WATAKIWA KULINDA VYUMA KWENYE NYAYA ZA UMEME. Read More »

MLANGUZI WA DAWA ZA KULEVYA KIMATAIFA HELEN IKAREUT APATIKANA NCHINI UGANDA.

Maafisa wa Idara ya Upelelezi, DCI kwa ushirikiano na maafisa wa taifa jirani la Uganda, wamefanikiwa kumnasa mshukiwa mkuu wa biashara ya dawa za kulevya, kwa jina Helen Ikareut, raia wa Uganda. Ikareut, ambaye ni mshirika mkubwa wa kusafirisha na kuuza dawa za kulevya katika ngazi za kimataifa, alikamatwa nchini Uganda na kusafirishwa humu nchini

MLANGUZI WA DAWA ZA KULEVYA KIMATAIFA HELEN IKAREUT APATIKANA NCHINI UGANDA. Read More »