WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI WA KILIFI KUTENGA BAJETI YA MICHEZO
Wito umetolewa kwa wawakilishi wadi wa kaunti ya kilifi kupeleka miswada bungeni ambayo itasaidia katika kuimarisha michezo. Tom Lango ambaye ni mwenyekiti wa fkf tawi la eneo bunge la Malindi ameshauri serikali ya kaunti hiyo kutenga bajeti itakayosaidia kusimamia fedha za kuendesha ligi za mashinani ikizingatiwa kwamba kwa sasa vilabu vingi vinapitia wakati mgumu kifedha. […]
WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI WA KILIFI KUTENGA BAJETI YA MICHEZO Read More »



