HABARI

MASHIRIKA NA WAHISANI PAMOJA NA VIONGOZI WA KISIASA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUTOA UFADHILI WA MASOMO MAGARINI

Vuguvugu la sauti ya wanawake eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi limetoa wito kwa mashirika, wahisani pamoja viongozi wa kisiasa, kujitokeza na kutoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wanaopaswa kujiunga na shule za upili eneo hilo. Kwa mujibu wa kiongozi wa vuguvugu hilo Bibiana Salim, kuna idadi kubwa ya wanafunzi ambao walipata matokeo bora […]

MASHIRIKA NA WAHISANI PAMOJA NA VIONGOZI WA KISIASA WAHIMIZWA KUJITOKEZA KUTOA UFADHILI WA MASOMO MAGARINI Read More »

OPARESHENI YA LINDA BONI KUENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU

Meja Jenerali Juma Mwinyikai amesema operesheni linda Boni katika kaunti ya Lamu imesaidia kudhibiti usalama wa eneo la msitu wa Boni na kaunti ya Lamu kwa Jumla. Akizungumza akiwa kaunti ya Lamu Mwinyikai amesema mikakati ambayo imewekwa na idara ya usalama nchini itasaidia katika kuboresha usalama hata zaidi. Aidha, amesema licha ya kushuhudiwa kwa mashambulizi

OPARESHENI YA LINDA BONI KUENDELEZWA KWENYE KAUNTI YA LAMU Read More »

NAIBU GAVANA WA TAITA TAVETA CHRISTINE KILALO AWATAKA WAZAZI KUWAJIBIKIA MAJUKUMU IPASAVYO

Naibu Gavana kaunti ya Taita Taveta Christine Kilalo amewataka wazazi katika kaunti hiyo kuwafunza watoto wao kuhusu namna ya kutumia simu za mikononi ili kuwadhibiti dhidi ya kupotoka kimaadili. Kilalo amesema iwapo hilo litatiliwa maanani hakutakuwa na watoto katika jamii ambao wamepotoka kimaadili. Amesema watoto wengi wamepotoka kimaadili kupitia kutazama video na picha zilizoko kwenye

NAIBU GAVANA WA TAITA TAVETA CHRISTINE KILALO AWATAKA WAZAZI KUWAJIBIKIA MAJUKUMU IPASAVYO Read More »