MASAIBU YA WAZITO YAZIDI LIGINI
Masaibu ya klabu ya Wazito fc ligini yanazidi kuonekana huku wakiwa hatarini kushuka daraja la ligi kuu ya fkf msimu huu. Hii ni baada ya jana kutandikwa kichapo cha bao 1-0 dhidi ya AFC Leopards katika mtanangwe uliochezwa dimbani Kasarani. Klabu hiyo imekuwa na msururu wa matokeo mabaya msimu huu kwani imeshinda mechi mbili pekee […]
MASAIBU YA WAZITO YAZIDI LIGINI Read More »



