HABARI

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA KUONGEZA MASHINE ZA KUSAFISHA FIGO

Serikali ya kaunti ya Taita Taveta imesema itaongeza mashine za kusafisha figo katika hospitali ya mpakani ya Taveta. Akizungumzia hilo katika hafla ya kuadhimisha siku ya ugonjwa wa figo ulimwenguni mjini Taveta, waziri wa afya katika kaunti hiyo Daktari Gifton Mkaya amesema ugonjwa wa sukari na shinikizo la damu husababisha figo kuathirika zaidi. Mkaya amesema

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA KUONGEZA MASHINE ZA KUSAFISHA FIGO Read More »