CONGESTINA YUKO SAWA, ZARIKA AKIJIANDAA KWA MASHINDANO MWEZI JULAI
Gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi ambaye amekuwa mdhamini wa matibabu ya bondia mkongwe Conjestina Achieng amethibitisha kwamba bondia huyo amerejea hali yake ya sawa baada ya kipindi kirefu cha masaibu ya kiafya alipokuwa katika kaunti ya Siaya. Baada ya pigano la kirafiki dhidi ya bondia wenza Fatuma Zarika wikendi ilopita katika kaunti ya […]
CONGESTINA YUKO SAWA, ZARIKA AKIJIANDAA KWA MASHINDANO MWEZI JULAI Read More »



