NIKO MAHALI SAHIHI – ALEX MWALIMU
Mshambuliaji wa klabu ya Mofa inayomilikiwa na Michael Olunga mwite Alex Mwalimu ametoa taarifa kuwa klabu ya Mofa ni klabu sahihi kwake katika safari ya soka ya kuichezea timu ya Taifa Harambee Stars. Ameyasema hayo akiwa kambini huko Homa Bay baada ya kukamilisha usajili wake mwezi huu wa January ambapo hadi kufikia sasa amecheza mechi […]
NIKO MAHALI SAHIHI – ALEX MWALIMU Read More »



