HABARI

TEN HAG ABEBA LAWAMA

Mkufunzi wa klabu ya Manchester United anashikilia kuwa yeye ndio mkufunzi sahihi wa kuendelea kuiongoza klabu hiyo ya Old Trafford. Ametetea onyosho bovu la usiku wa kuamkia leo la kupigwa kichapo cha bao 4-0 dhidi ya klabu ya Crystal Palace kwenye mechi ya EPL. Anasema kuwa majeruhi ndio yaliwaponza ikizingatiwa kuwa walinzi wake wengi wako

TEN HAG ABEBA LAWAMA Read More »