HABARI

MICHEZO YA SHULE ZA UPILI MALINDI YAANDIKISHA HISTORIA

Michezo ya shule za upili katika eneo bunge la Malindi imepiga hatua kiasi cha kuandikisha historia muhula huu ya kuwa na mashindano ya raga ya wasichana ya wachezaji saba kila upande ambao watashiriki. Kulingana na katibu wa michezo hiyo mjini Malindi kaunti ya Kilifi Samuel Mulat ambaye amezungumza na Lulu FM kupitia njia ya simu […]

MICHEZO YA SHULE ZA UPILI MALINDI YAANDIKISHA HISTORIA Read More »

PROGRESSIVE STARLETS ILISAMBARATIKA!

Timu ya kinadada ya Malindi Progressive Academy kwa sasa haishiriki ligi yoyote na wachezaji waliokuwepo takriban wote walijiondoa katika timu hiyo. Taarifa zasema kwamba  Progressive Starlets ilivunjika baada ya kushuhudiwa mgomo baridi  miongoni mwa wachezaji baada ya tukio la kukosa kuheshimu ratiba muhimu ya ligi msimu uliopita. Neema Charo ni nahodha na naibu mkufunzi kocha

PROGRESSIVE STARLETS ILISAMBARATIKA! Read More »