JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI
Timu ya taifa ya Junior starlets ambayo iko Uhispania katika kambi ya kujitayarisha kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Dunia ya kinadada jana ilisajili ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya klabu ya kinadada ya Intercity Femenino. Ni mechi ambayo inawafanya Junior starlets wanaoongozwa na kocha Mildred Cheche inazidi kujiandaa kwa World Cup igakayoanza tarehe […]
JUNIOR STARLETS YASHINDA 4-1 KWENYE MECHI YA KIRAFIKI Read More »



