KISUMU NDOGO UNITED YAFANYA MAJARIBIO ALASKAN
Klabu ya mji wa Malindi Kisumu Ndogo United imefanya zoezi la majaribio ya wachezaji wa lengo la kuwinda talanta ambazo zitaimarisha kikosi hicho zaidi kuelekea msimu mpya wa Ligi ya mkoa. Kulingana na kocha Jackson Kalinga ambaye ni Kati ya makocha waliokuwa wanasimamia zoezi hilo ni kuwa vijana wengi kutoka sehemu mbali wamejitokeza huku akitarajia […]
KISUMU NDOGO UNITED YAFANYA MAJARIBIO ALASKAN Read More »



