Kitaifa

IEBC YATAKIWA KUWAKABILI WANASIASA WANAOPANGA KUHARIBU MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2027.

Chama cha DCP kimeitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, kuwachukulia hatua kali za kisheria, wanasiasa wanaoendeleza semi za kuwa na mipango ya kushiriki wizi wa kura za urais mwaka 2027. Naibu kinara wa chama hicho Cleophas Malala, amesema kuwa watawasilisha ombi kwa tume hiyo, kuhusiana na suala la kukabili kisheria wanasiasa hao. […]

IEBC YATAKIWA KUWAKABILI WANASIASA WANAOPANGA KUHARIBU MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2027. Read More »

WATUMISHI WA UMMA WAONYWA DHIDI YA KUCHELEWA KAZINI.

Waziri wa utumishi wa umma nchini Geoffrey Ruku, amewaonya maafisa wa serikali dhidi ya kuchelewa kufika kazini, akisema kuwa huenda wakaadhibiwa. Akizungumza baada ya kufanya ziara ya kushtukiza katika afisi za umma kule kaunti ya Nyeri, waziri Ruku amesema kuwa hatua hiyo, imechangia wananchi kutopata huduma bora kutoka kwa serikali kupitia afisi hizo. Ameongeza kuwa

WATUMISHI WA UMMA WAONYWA DHIDI YA KUCHELEWA KAZINI. Read More »