BARAZA LA MAGAVANA LA PINGA SUALA LA UKAGUZI WA UTUMIZI WA FEDHA ZA BASARI KATIKA KAUNTI SITA ZA TAIFA HILI.
Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa bajeti Magaret Nyakang’o, imekosolewa vikali kufuatia hatua yake ya kutaka kufanya ukaguzi upya, wa matumizi ya fedha katika kaunti sita humu nchini. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Baraza la Magavana, ambaye pia ni Gavana wa Kaunti ya Wajir, Ahmed Abdullahi, ofisi hiyo imekuwa ikifanya ukaguzi katika kaunti zote na hivyo […]



