RAIS WILLIAM RUTO AKOSOA MATAMSHI YA ALIYEKUWA NAIBU WAKE RIGATHI GACHAGWA.
Rais William Ruto amemsuta aliyekuwa naibu wake Rigathi Gachagwa kutokana na kauli yake, ya misukosuko ya uongozi wa taifa hili, kwenye ziara yake kule Marekani. Kulingana na Ruto, matamshi hayo hayakupaswa kutoka kwa kinywa cha kiongozi wa haiba yake, kwa kila anachosema amehudumu katika nafasi mbali mbali za uongozi kwenye serikali ya taifa hili kwa […]
RAIS WILLIAM RUTO AKOSOA MATAMSHI YA ALIYEKUWA NAIBU WAKE RIGATHI GACHAGWA. Read More »



