Kitaifa

SERIKALI YA KITAIFA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA HEPATITIS.

Asilimia tatu ya Wakenya wanaugua ugonjwa wa ini, unaojulikana kwa kimombo Hepatitis B na C. Ukosefu wa ufahamu kuhusu ugonjwa huo, hasa katika maeneo ya mashinani, umetajwa kuwa changamoto kuu inayokwamisha juhudi za kukabiliana msambao wa maradhi hayo. Akizungumza na wanahabari jijini, Mombasa wakati wa hafla ya kuadhimisha Siku ya Hepatitis Duniani, Mkurugenzi Mkuu wa […]

SERIKALI YA KITAIFA YA WEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA MARADHI YA HEPATITIS. Read More »

WAKENYA WAONYWA DHIDI YA SIASA ZA UKABILA.

Mshauri wa masuala kisiasa katika afisi ya rais William Ruto, Karisa Nzai amewaonya wakenya dhidi ya kugawanywa kwa misingi ya kisiasa. Karisa Nzai amesema kuwa siasa za ukabila zinaweza kuchangia katika kushuhudiwa kwa migawanyiko ndani ya taifa hili. Akizungumza katika kaunti ya Mombasa, amesema kuwa wakenya wanapaswa kudumisha umoja utakao sababisha kushuhudiwa kwa amani katika

WAKENYA WAONYWA DHIDI YA SIASA ZA UKABILA. Read More »

MAAFISA WA POLISI WADAIWA KUCHANGIA KATIKA VISA VYA UHALIFI NCHINI.

Wizara ya usalama imebaini kuwepo kwa maafisa wa polisi, ambao hushurikiana na wahalifu katika kuendeleza mashambulizi na wizi, wa za mali ya wananchi wa maeneo yanayo kabiliwa na ukosefu wa usalama nchini. Kulingana na waziri wa Usalama nchini Kipchumba Murkomen, baadhi ya wahalifu wamekuwa wakipewa risasi na maafisa wa polisi, wanaoshika doria katika maeneo hayo.

MAAFISA WA POLISI WADAIWA KUCHANGIA KATIKA VISA VYA UHALIFI NCHINI. Read More »