SERIKALI YA KITAIFA YASEMA VIJANA WENGI WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA HAZINA YA HUSLER.
Rais William Ruto amesema kuwa zaidi ya wakenya milioni 26, wamenufaika na mikopo ya hazina ya HUSLER kote nchini. Kulingana na Rais, milioni tisa kati yao, wamekuwa wakikopa mara kwa mara, hatua ambayo anasema imedhirisha kuwa wakenya wengi wamefaidika pakubwa na hazina hiyo. Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya vijana nchini katika chuo kikuu cha […]
SERIKALI YA KITAIFA YASEMA VIJANA WENGI WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA HAZINA YA HUSLER. Read More »



