Kitaifa

SERIKALI YA KITAIFA YASEMA VIJANA WENGI WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA HAZINA YA HUSLER.

Rais William Ruto amesema kuwa zaidi ya wakenya milioni 26, wamenufaika na mikopo ya hazina ya HUSLER kote nchini. Kulingana na Rais, milioni tisa kati yao, wamekuwa wakikopa mara kwa mara, hatua ambayo anasema imedhirisha kuwa wakenya wengi wamefaidika pakubwa na hazina hiyo. Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya vijana nchini katika chuo kikuu cha […]

SERIKALI YA KITAIFA YASEMA VIJANA WENGI WAMENUFAIKA NA FEDHA ZA HAZINA YA HUSLER. Read More »

WIZARA YA USALAMA YASISITIZA GACHAGUA KUANDIKISHA TAARIFA KATIKA AFISI ZA DCI PINDI ATAKAPO REJEA HUMU NCHINI.

“Iwapo aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua hata andikisha taarifa kwa idara ya polisi, kuhusiana na matamshi yake ya serikali ya taifa hili kushirikiana magaidi, tutahakikisha kuwa anafanyiwa uchunguzi wa afya ya akili yake.” Ndiyo matamshi ya waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen, ambaye amesema kuwa Gachagua amekuwa akizungumzia masuala tata, ambayo yanaweza kuweka taifa

WIZARA YA USALAMA YASISITIZA GACHAGUA KUANDIKISHA TAARIFA KATIKA AFISI ZA DCI PINDI ATAKAPO REJEA HUMU NCHINI. Read More »