Kitaifa

WIZARA YA USALAMA YAAHIDI KUWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WALE WALIOFADHILI MAANDAMANO NCHINI.

Idara ya usalama nchini imeapa kuwachukulia hatua za kisheria wanasiasa watakaopatikana na hatia, ya kufadhili maandamano ya kizazi cha Gen Z katika maeneo tofauti ya taifa hili. Katika taarifa wa waandishi wa habari, kwenye majengo ya afisi za wizara hiyo kaunti ya Nairobi, Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen, amekashifu hatua ya waandamanaji kuharibu […]

WIZARA YA USALAMA YAAHIDI KUWACHUKULIA HATUA ZA KISHERIA WALE WALIOFADHILI MAANDAMANO NCHINI. Read More »

WIZARA YA AFYA YAIMARISHA UTENDAKAZI WAKE KWA KUSAMBAZA MGAO WA FEDHA KWA HOSPITALI ZA KIBINAFSI.

Jumla ya taasisi 7,446 za afya kitaifa, zimepokea mgao wa jumla ya shilingi bilioni 51.3, kutoka kwa serikali ya kitaifa kupitia mpango wa mamlaka ya SHA, ili wakenya wanufauike na bima ya afya SHIF. Kulingana na waziri wa afya nchini Aden Duale, hatua hiyo itasaidia pakubwa katika kuboresha huduma za afya kwa wakenya, ambao wamesajiliwa

WIZARA YA AFYA YAIMARISHA UTENDAKAZI WAKE KWA KUSAMBAZA MGAO WA FEDHA KWA HOSPITALI ZA KIBINAFSI. Read More »

RIGATHI GACHAGWA AZIDISHA SHUTMA ZAKE DHIDI YA SERIKALI YA KITAIFA.

Kinara wa chama cha DCP, Geoffrey Rigathi Gachagwa, amesema mojawapo ya sababu zake kuondolewa kwenye nafasi ya naibu wa rais katika taifa hili, ni kutetea haki za wananchi wa kaunti ya Meru. Akizungumza katika kaunti ya Meru, siku moja kabla ya rais William Ruto kufanya mkutano katika kaunti hiyo, Gachagwa amedai kuwa kulikuwa na njama,

RIGATHI GACHAGWA AZIDISHA SHUTMA ZAKE DHIDI YA SERIKALI YA KITAIFA. Read More »