SERIKALI KUU YAAHIDI KUKAMILISHA DENI LA SHULE ZA UPILI ZA UMMA.
Wizara ya elimu nchini imewahakikishia walimu wakuu katika shule za upili za umma, kuwa watapokea deni lao la shilingi bilioni 14, za muhula huu wa kwanza wiki hii. Waziri wa elimu Julius Ogamba Migosi, amesema kuwa fedha hizo ni asilimia 25 ya jumla ya pesa ambazo, taasisi hizo zilitarajiwa kupokea katika muhula huu wa kwanza. […]
SERIKALI KUU YAAHIDI KUKAMILISHA DENI LA SHULE ZA UPILI ZA UMMA. Read More »



