Kitaifa

RAIS WILLIAM RUTO ATETEA AHADI YAKE YA BARABARA ENEO LA KASKAZINI MASHIRIKI MWA KENYA.

Rais William Ruto ametetea ahadi yake ya ujenzi wa barabara Kutoka Mandera, ifike Lamu, hadi Gare, ipitie Eluwaku, na kuunganishwa na Kobo, kisha ipitie Kotula, hadi Tarbat, na kuongezwa hadi Wajir, na kupitia Samatan na Mogadish, hadi Isolo na mwishowe Nairobi. Kiongozi huyo wa taifa amesema kuwa serikali yake, imejitokea kukamilisha ujenzi wa barabara hiyo […]

RAIS WILLIAM RUTO ATETEA AHADI YAKE YA BARABARA ENEO LA KASKAZINI MASHIRIKI MWA KENYA. Read More »

MBUNGE WA JUJA GEORGE KOIMBURI ATIWA NGUVUNI NA MAAFISA WA DCI.

Maafisa wa usalama wamemtia mbaroni mbunge wa Juja kaunti ya Kiambu, George Koimburi kwa madai ya kusema “serikali kuu, ilitumia shilingi bilioni 13, kumpigia debe Raila Odinga, katika kuwania wadhifa wa mwenyekiti wa tume ya muungano wa taifa ya Afrika AUC”. Aidha baadhi ya viongozi wanaoegemea upande wa aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, wamejitokeza

MBUNGE WA JUJA GEORGE KOIMBURI ATIWA NGUVUNI NA MAAFISA WA DCI. Read More »

WANASIASA NCHINI KENYA WAONYWA DHIDI YA KUZINGATIA SIASA NA KUSAHAU MAENDELEO.

Naibu wa Rais Profesa Kithure Kindiki amewataka viongozi wa kisiasa mashinani, kuweka kando tofauti zao za kisiasa na badala yake, kuendeleza mazungumzo ya kuboresha maendeleo ya jamii. Kindiki ambaye alikuwa akizungumza kwenye kikao na viongozi wa kaunti ya Meru, katika makaazi yake jijini Nairobi, amewaonya wanasiasa nchini dhidi ya kuchukiana kwa misingi ya siasa, baada

WANASIASA NCHINI KENYA WAONYWA DHIDI YA KUZINGATIA SIASA NA KUSAHAU MAENDELEO. Read More »